
Michuano ya kombe la mabara katika ngazi ya timu za taifa (Confederation Cup)inaendelea ambapo timu ya taifa ya Ujerumani inakipiga na Chile katika hatua ya fainali.
Katika mchezo huo Ujerumani imejipatia bao la kuongoza katika dakika za kipindi cha kwanza bao linaloendelea kudumu hadi sasa mchezo huo upo dk ya 86
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni